KUMEKUA NA MIJADALA MINGI KUHUSU KATIBA TUITAKAYO,MUUNDO NA MAMBO MENGI
TUME IMEJITAIDI KUFIKIA WATU KADRI YA MUDA WALIOPEWA KUKAMILISHA HIYO KAZI ILA MAONI MENGI YAMESHIONDWA KUFIKIWA KUTOKANA NA MUDA MCHACHE,JAPOKUA TUME IMETOA BARUA PEPE ILI WALE AMBAO HAWAJATOA MAONO WATOE KUPITIA HUKO,INGAWA TUNAJUA WATANZANIA WACHACHE WANATUMIA TEKNOLOJIA HII NGENI UKILINGANISHA NA IDADI YA WANANCHI
JE WADAU MNAONAJE KUHUSU HILI?
MUDA UONGEZWE?
AU MIJADALA YA REDIO NA LUNINGA ITUMIKE AU NJIA GANI ITUMIKE?
jamii yetu Tanzania
Ni blog ya kizalendo,itakayokua huru kupokea mawazo yoyote ya watu,na mawazo hayo si msimamo au mtazamo wa blog hii kuhusu jambo husika,bali mwandishi. Watu wa fani mbalimbali,kuanzia mazingira,sheria,mipango sera,utabibu,uhusiano wa kimataifa nk wanaruhusiwa kuchangia lengo ni kujenga taifa bora,huru na lenye nguvu pia ni ukumbi wa kuelimishana hasa jinsi ya kutatua matatizo yanayotukabili katika nchi yetu kitaifa na kitaifa.
Sunday, January 27, 2013
umuhim wa ict katika uhifadhi mazingira na utalii endelevu
kwa karibu miongo 2 tumeshuudia mabadiliko makubwa ya teknolojia ya mawasiliano(ICT) na kumekua na mijadala mbalimbali kuhusu matumizi ya teknolojia hii
pamoja na kurahisha kazi pia imekua na faida hasi kwa jamii km vile kupunguza ajila mfano kazi za watu wawili zaweza fanya na mmoja.
ingawa imeongeza ajira kwa wataalam wa ict inchi kwa kua bado tu wachanga katika hili.
Je mdau wewe unaichukuliaje teknolojia hii hasa katika uhifadhi mazingira asilia na utalii endelevu(nature conservation and ecotourism)
pamoja na kurahisha kazi pia imekua na faida hasi kwa jamii km vile kupunguza ajila mfano kazi za watu wawili zaweza fanya na mmoja.
ingawa imeongeza ajira kwa wataalam wa ict inchi kwa kua bado tu wachanga katika hili.
Je mdau wewe unaichukuliaje teknolojia hii hasa katika uhifadhi mazingira asilia na utalii endelevu(nature conservation and ecotourism)
Thursday, January 20, 2011
matamko ya viongozi wa kidini juu ya vurugu arusha
muhimu kujadili
je nafasi ya viongozi wa dini ni ipi katika kuimalisha ustawi wa nchi inchi?
je viongozi wa dini wana haki ya kutoa tamko?
je demokrasia yetu inakua au inakufa?
KATIBA MPYA TANZANIA
TANZANIA NI MUUNGANO WA NCHI MBILI YAANI TANGANYIKA NA ZANZIBAR,MUUNGANO HUO UKAZAA SERIKALI MBILI,YA MAPINDUZI NA YA MUUNGANO
ZANZIBAR WANA KATIBA YAO YA MWAKA 1984 NA TANZANIA IPO YA MWAKA 1977,ZOTE ZIMEFANYIWA MAREKEBISHO MENGI,KUNABAADHI YA WANANCHI WANATAKA KATIBA MPYA NA WENGINE YA ZAMANI IFANYIWE MAREKEBISHO .
YOTE YANAWEZEKANA ILA KATIKA KUFANYA HAYO KUNA TATIZO KATIKA HILO KWANI KUNA AMBAO HAWAPO KATIKA MAKUNDI YOTE MAWILI KUNDI LA MAREKEBISHO NA KUNDI LA KATIBA MPYA,.HAWA NI WENGI KULIKO HAYO MAKUNDI MAWILI NILIYOTAJA,NI WALE TUSIOJUA KATIBA YETU TULIYONAYO SASA.
MUHIM
TUPO KWENYE MJADALA,TUNATAKA KATIBA YETU IWEJE?
JE MUUNDO WAKE UWE VIPI?
JE TUNAJUA MAPUNGUFU YA KATIBA YA SASA?
MNAOFAHAM TUCHANGIE ILI WENGINE TUJIFUNZE KUPITIA KWENU
ZANZIBAR WANA KATIBA YAO YA MWAKA 1984 NA TANZANIA IPO YA MWAKA 1977,ZOTE ZIMEFANYIWA MAREKEBISHO MENGI,KUNABAADHI YA WANANCHI WANATAKA KATIBA MPYA NA WENGINE YA ZAMANI IFANYIWE MAREKEBISHO .
YOTE YANAWEZEKANA ILA KATIKA KUFANYA HAYO KUNA TATIZO KATIKA HILO KWANI KUNA AMBAO HAWAPO KATIKA MAKUNDI YOTE MAWILI KUNDI LA MAREKEBISHO NA KUNDI LA KATIBA MPYA,.HAWA NI WENGI KULIKO HAYO MAKUNDI MAWILI NILIYOTAJA,NI WALE TUSIOJUA KATIBA YETU TULIYONAYO SASA.
MUHIM
TUPO KWENYE MJADALA,TUNATAKA KATIBA YETU IWEJE?
JE MUUNDO WAKE UWE VIPI?
JE TUNAJUA MAPUNGUFU YA KATIBA YA SASA?
MNAOFAHAM TUCHANGIE ILI WENGINE TUJIFUNZE KUPITIA KWENU
Tuesday, January 11, 2011
Monday, January 10, 2011
MAKABLASHA MENGI MAFANIKIO MACHACHE
Tanzania nio moja ya nchi ambazo zina mipango mingi ya maendeleo kuanzia na MKUKUTA,MKURABITA,VISION2025 ambayo yote ina mgusa mwananchi katika kufanikiwa!
tatizo ni kwamba mambo mengi yapo kwenye maandishi tena kwa lugha ngumu ambapo tunajua sisi watanzania ni wavivu wa kusoma,la pili mlengwa mwenyewe ajitambui km mlengwa,tatu ambalo ni kubwa katika lote ni ufungufu wa takwimu za karibuni(recent data) kwa kuwa hatufanyi tafiti hasa za kmatatizo yanayotusibu eidha kwa kupenda au kwa mfumo tuliojiwekea.HUKU TUKITEGEMEA FEDHA ZA WAFADHILI KTK MAENDELEO NA FEDHA ZETU ZA NDANI(MAPATO YA NCHI)YAKIWA KWENYE BAJETI YA MATUMIZI.
MUHIMU
ANGALIA NAFASI YAKO KM MDAU UTAIFANYIA NINI NCHI
CHANGIA MJADALA TUONE JINSI GANI TUTAINUA MAENDELEO YETU
tatizo ni kwamba mambo mengi yapo kwenye maandishi tena kwa lugha ngumu ambapo tunajua sisi watanzania ni wavivu wa kusoma,la pili mlengwa mwenyewe ajitambui km mlengwa,tatu ambalo ni kubwa katika lote ni ufungufu wa takwimu za karibuni(recent data) kwa kuwa hatufanyi tafiti hasa za kmatatizo yanayotusibu eidha kwa kupenda au kwa mfumo tuliojiwekea.HUKU TUKITEGEMEA FEDHA ZA WAFADHILI KTK MAENDELEO NA FEDHA ZETU ZA NDANI(MAPATO YA NCHI)YAKIWA KWENYE BAJETI YA MATUMIZI.
MUHIMU
ANGALIA NAFASI YAKO KM MDAU UTAIFANYIA NINI NCHI
CHANGIA MJADALA TUONE JINSI GANI TUTAINUA MAENDELEO YETU
NAFASI YA UFUGAJI NYUKI KATIKA KUMKWAMUA MTANZANIA
UTANGULIZI
ufugaji nyuki tanzania ni moja ya shughuli zenye historia ndefu hasa ukizingatia tangu karne kadhaa,wazee wetu wameendelea kutumia ASALI na NTA km vyanzo vya mapato na chakula kwa jamii mbali mbali
.japokua tanzania tuna utajiri wa malisho ya nyuki(bee fodder) lakini bado kiwango, ubora wa asali unasikitisha!Jamii bado inategemea mizinga ya asili(traditional hive) kuliko aina nyingine za mizinga,mwamko wa wananchi katika ufugaji wa kisasa bado uko chini.idadi ya wataalamu wa fani ya ufugaji nyuki bado haitoshelezi,pia patop la taifa kutokana na kuuza nchi za nje mazao ya nyuki linapungua mwaka hadi mwaka,
JE SERIKALI,NA WATAALAM HUSIKA WANATIMIZA WAJIBU WAO
?MWANANCHI JE?
NAFASI YA WADAU WENGUINE KATIKA SUALA HILI NI IPI?
MUHIMU
CHANGIA MJADALA HUU KUPATA SULULISHO
ufugaji nyuki tanzania ni moja ya shughuli zenye historia ndefu hasa ukizingatia tangu karne kadhaa,wazee wetu wameendelea kutumia ASALI na NTA km vyanzo vya mapato na chakula kwa jamii mbali mbali
.japokua tanzania tuna utajiri wa malisho ya nyuki(bee fodder) lakini bado kiwango, ubora wa asali unasikitisha!Jamii bado inategemea mizinga ya asili(traditional hive) kuliko aina nyingine za mizinga,mwamko wa wananchi katika ufugaji wa kisasa bado uko chini.idadi ya wataalamu wa fani ya ufugaji nyuki bado haitoshelezi,pia patop la taifa kutokana na kuuza nchi za nje mazao ya nyuki linapungua mwaka hadi mwaka,
JE SERIKALI,NA WATAALAM HUSIKA WANATIMIZA WAJIBU WAO
?MWANANCHI JE?
NAFASI YA WADAU WENGUINE KATIKA SUALA HILI NI IPI?
MUHIMU
CHANGIA MJADALA HUU KUPATA SULULISHO
Subscribe to:
Posts (Atom)